Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom Tanzania, Nector Pendael, akizungumza na waandsihi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu mbio za ‘Dar Comrades Half Marathon’, za Kilometa 21, 10 na 5,zinazotarajia kufanyika Mei 29 mwaka huu jijini. Katikati ni Mjumbe wa Kamati ya SATZ Regent Tanzania Ltd, Paddy Hoon na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment