Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom Tanzania, Nector Pendael, akizungumza na waandsihi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu mbio za ‘Dar Comrades Half Marathon’, za Kilometa 21, 10 na 5,zinazotarajia kufanyika Mei 29 mwaka huu jijini. Katikati ni Mjumbe wa Kamati ya SATZ Regent Tanzania Ltd, Paddy Hoon na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment