Habari za Punde

*DK. AMANI KARUME ZIARANI CHINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume, akisalimiana na Naibu Meya wa Jiji la Shangai China, Tang Deng Jie, wakati akiwa katika Ziara yake Nchini China leo, (katikati) Ni Mke wa Rais, Mama Shadya Karume.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.