Katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, Seith Kamuhanda, akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari Dar es Salaam leo mchana, wakati alipokutana na wahariri hao kwa lengo la kufahamiana na kuboresha ubora wa habari za vyombo hivyo.
MAMBO YANOGA UKURASA MPYA WA HAKI KUENDANA NA WAKATI
-
Katika ulimwengu wa sasa unaokwenda kwa kasi ya mwanga, sheria ambazo
haziendani na wakati ni sawa na nanga inayozuia meli ya maendeleo kung'oa
nanga....
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment