"Hatimaye kimerejeshwa sijui kimekosa soko?"
Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga (kulia), akimkabidhi Sanamu ya Kimakonde, Mwenyekiti wa Bodi ya Makumbusho ya Taifa Dk Costancia Rugumamu, kilichorejeshwa nchini baada ya kuibiwa katika Makumbusho ya Taifa mwaka 1984 na kupelekwa nchini Switzerland, wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment