Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Oliver Mhaiki (kushoto) akimkabidhi funguo za mabasi mawili ya kubebea mahabusu na wafungwa, Kamishna Mkuu wa Magereza nchini, Augustino Nanyaro,wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika Makao Makuu ya jeshi hilo , Dar es Salaam leo mchana. Serikali kupitia Programu ya Maboresho ya Sekta ya Sheria (LSRP), imekabidhi mabasi hayo yenye thamani ya shilingi milioni 320 kwa jeshi hilo kwa lengo la kusaidia kusafirishia mahabusu.
UDSM YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA
ELIMU NA UTAFITI
-
Lindi — Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu
ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya
ku...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment