Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Said Mwema (kulia) na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea, Sung Soo wakibadilishana Mkataba wa kiushirikiano wa kiuntedaji wakati wa hiyo iliyofanyika, Dar es Salaam leo mchana. Katikati ni msemaji wa Jeshi la Polisi Abdallah Musika.
UDSM YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA
ELIMU NA UTAFITI
-
Lindi — Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu
ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya
ku...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment