Vodacom Miss Iringa 2010, Rahma Gege, akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili Grace Simon (kushoto) na watatu Mary Kagali, baada ya kutangazwa washindi katika shindano hilo lililofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa St. Dominic,Iringa mjini. Picha kwa hisani ya Vodacom
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment