Meneja Mkuu wa Kampuni ya ndege ya Mizigo ya Sahara Air Cargo, Solomon David (kulia) akijadili jambo na baadhi ya wadau wa sekta ya usafiriwa anga wakati wa hafla ya uzinduzi wa shughuli za huduma za kampuni hiyo kwa Tanzania, iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
NGALIMANAYO: NIPO TAYARI KUIHUDUMIA KATA YA MJINI KWA MOYO WANGU WOTE.
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea udiwani wa Kata ya Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mathew
Ngalimanayo, amerejesha fomu ya uteuzi Tukio hilo limevuta hisi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment