Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tripod Media Ltd, Dorothy Ngashani, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu maonyesho ya elimu yanayotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee Juni 24 na 25 mwaka huu, yatakayoshirikisha nchi za Afrika Mashariki, yakiwa na lengo la kuwakutanisha Waalimu, Wahadhiri, Wanataaluma, Wanafunzi wa kuanzia Chekechea hadi waliomaliza Vyuo wanaotafuka kazi ili kubadilishana mawazo. Kulia ni Mkurugenzi wa Flare Magazine, Stephanie Mabachi.
DKT MPANGO AIOMBA BENKI YA CRDB KUTOA ELIMU YA FEDHA AKIZINDUA TAWI BUHIGWE
-
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani
Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa
Rais, ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment