Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tripod Media Ltd, Dorothy Ngashani, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu maonyesho ya elimu yanayotarajia kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee Juni 24 na 25 mwaka huu, yatakayoshirikisha nchi za Afrika Mashariki, yakiwa na lengo la kuwakutanisha Waalimu, Wahadhiri, Wanataaluma, Wanafunzi wa kuanzia Chekechea hadi waliomaliza Vyuo wanaotafuka kazi ili kubadilishana mawazo. Kulia ni Mkurugenzi wa Flare Magazine, Stephanie Mabachi.
NAIBU WAZIRI MAKONDA AWASILI MOROCCO KUIPA MORALI TAIFA STARS
-
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda
amewasili nchini Morocco kwa lengo la kuipa nguvu na kuongeza morali kwa
Timu ya ...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment