Habari za Punde

*ZANTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA Z-PESA

Waziri wa Nchi, anayesimamia masuala ya Biashara na Uchumi, Zanzibar Mwanahaji Makame, akizungumza wakati wa hafla ya kuzinduwa huduma mpya ya mtandao wa simu za mkononi Zantel unaojulikana kama Z-Pesa. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Kibiashara wa Zantel Norman Moyo na aliyeketi kulia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Noel Herrity.

Wafanyakazi wa Zantel wakiwasajili wateja kujiunga na huduma ya ZPesa ambayo inaenda sambamba na zoezi la kusajili namba za simu kuwawezesha wateja wa Zantel kusajili namba zao

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.