Habari za Punde

*ZANTEL YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA CHOMOKA NA 'PIKIPIKI NA ZANTEL' INAYOFANYIKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya simu za mkononi Zantel Kanda ya Ziwa, Nzeku Chipa (kushoto)
akimkabidhi funguo ya pikipiki mshindi wa Promosheni ya Chomoka na Pikipiki na Zantel kwa
wakazi wa Mwanza, Mara na Musoma Dominick Kawishe (kulia) mkazi wa Magu, baada ya kuibuka mshindi katika Promosheni hiyo inayoendelea kwa Kanda ya Ziwa. Picha kwa hisani ya Zantel

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.