Habari za Punde

*JAKAYA APOKEWA KWA MBWEMBWE NA WANACHAMA DAR


Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kumlaki katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere baada ya kuwasili Jijini Dar es Salaam, akitokea mjini Dodma ambako alilihutubia na kuahirisha Bunge jana. Picha na Freddy Maro

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.