Habari za Punde

*BODA LA ZAMBIA NA TANZANIA

Hapa ni Wilaya ya Mbozi katika Boda ya Zambia na Tanzania, yaani upande wa pili nyumba unazoziona mlimani ni Zambia, eti wanaozaliwa maeneo haya ni raia kweli? kwani eneo kama hili jirani yako anaweza kuwa upande wa pili tu hapo unakwenda kupiga nae stori kisha unarudi home na pia je mtu anayekuwa na rafiki yake wa kike ama wa kiume maeneo haya Kidume kikiwa upande wetu na Mdada akawa upande wa pili je mtoto atakayezaliwa raia wa nchi gani? kwani baadaye yasijekuwa yale yaleeeeee...........

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.