Habari za Punde

DK. BILAL AMALIZA KAMPENI MKOA WA RUKWA-KESHO KUTUA DAR

Ofisa wa CCM kutoka Makao Makuu Dar es Salaam, aliyeambatana na msafara wa Mgombea Mwenza Bi Khadija, akizungumza jukwaani ikiwa ni sehemu ya kusafisha njia kabla ya mgombea mwenza kupanda jukwaani kuwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mtimbwa leo.
Wasanii wa Kikundi cha Ngoma ya Utamaduni cha Kanondo, wakionyesha umahiri wao wa kecheza ngoma hiyo mbele ya Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, baada ya kuwasili Kijiji cha Mtimbwa Kata ya Kasense Wilaya ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa kufanya mkutano wa kampeni leo mchana.
Mke wa mgombea Mwenza Bi Zakia Bilal, akimtunza msanii wa kikundi hicho...

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.