Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevive Emmanuel (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya Miss Tanzania na Ofisa udhamini kutoka Kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude, kutoka kulia ni Aidan Rico, Bosco Majaliwa,Albert Makoye na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga, wakati alipokuwa akiagwa kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere leo.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 18, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 18, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment