Habari za Punde

*MISS TANZANIA AENDA 'KUTEST' ZALI CHINA, MASHINDANO YA DUNIA

Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevive Emmanuel (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya Miss Tanzania na Ofisa udhamini kutoka Kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude, kutoka kulia ni Aidan Rico, Bosco Majaliwa,Albert Makoye na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga, wakati alipokuwa akiagwa kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere leo.






No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.