Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal na mkewe Zakia Bilal, wakipunga mikono kuwaaga wananchi wa Jimbo la Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma baada ya kumaliza mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Stendi ya Mabasi na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo George Simba Chawene.
'KIBAJAJI KILICHOANGUSHA KATAPILA JIMBO LA MTERA'
No comments:
Post a Comment