Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipokelewa na wanachama na wasanii wa ngoma za asili za Kabila la Wagogo, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mkoani Dodoma leo kwa ajili ya kuanza ziara yake ya mikutano ya Kampeni baada ya mapumziko ya sikukuu ya Eid El Fitr, ambapo leo ameanza ziara hiyo katika Kanda ya Kati.
Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa eneo la Soko la Mahindi wakati wa mkutano wa kampeni ulioanza leo kwa mgombea huyo baada ya mapumziko ya sikukuu ya Eid.
Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa eneo la Soko la Mahindi wakati wa mkutano wa kampeni ulioanza leo kwa mgombea huyo baada ya mapumziko ya sikukuu ya Eid.
Wasanii wa Kikundi cha ngoma ya asili cha Maomanyika, wakiwa kwenye uwanja wa Makulu wakati wakimsikiliza Mgombea Mwenza Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akifanya mkutano wa Kampeni mkoani Dodoma leo.
No comments:
Post a Comment