Habari za Punde

*MAANDALIZI YA KUMPATA VODAOM MISS TANZANIA LEO CITY

Hivi ndivyo mandhali ya nje sehemu ya kuingilia ilivyo na hapa ni wakati mafundi wakiendelea kupamba kwa umaridadi ili kukamilisha zoezi hilo, tayari kusubiri shindano hilo linalofanyika leosiku.
Hili ndilo hasa gari linalotarajia kuondoka na mrembo mmoja kati ya warembo 30, wanaowania Taji la Vodacom Miss Tanzania 2010.

Mafundi wakiendelea na maandalizi......
Hii ni sehmu ya mapokezi.......
Hapa ni ndani na hili ni jukwaa litakalotumika shughuli hizo leo....
Hawa ni baadhi ya wasanii wa THT, ambao ni miongoni mwa wasanii watakaotoa burudani leo katika shindano hilo.




No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.