Hivi ndivyo mandhali ya nje sehemu ya kuingilia ilivyo na hapa ni wakati mafundi wakiendelea kupamba kwa umaridadi ili kukamilisha zoezi hilo, tayari kusubiri shindano hilo linalofanyika leosiku.
Hili ndilo hasa gari linalotarajia kuondoka na mrembo mmoja kati ya warembo 30, wanaowania Taji la Vodacom Miss Tanzania 2010.
Hili ndilo hasa gari linalotarajia kuondoka na mrembo mmoja kati ya warembo 30, wanaowania Taji la Vodacom Miss Tanzania 2010.
No comments:
Post a Comment