Habari za Punde

*JK AUNGURUMA KAWE, APOKEA KADI ZA WAPINZANI

JK akielezea mpango wa serikali yake wa kujenga fly-overs jijini Dar ili kupunguza msongamano wa magari jijini.

Bw. Juma Othman Juma akiwa na Mama Fatma Maghimbi baada ya kurejesha kadi za CUF na kupewa za CCM leo.

Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Mh. Abdulrahman Kinana akimpongeza Bw. Juma Othman Juma kwa kujiunga na CCM leo.
Nyomi uwanja wa Tanganyika Packers kwenye mkutano wa kampeni wa JK leo

Msanii wa Bongo Fleva Diamond akitumbuiza leo Kawe kwenye mkutano wa kampeni wa JK







No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.