Dereva wa wa katika moja ya gari lililopo katika msafara wa Dk. Bilal, akijaribu kujisevia fasta fasta baada ya kuchelewa kunywa chai na wenzi na kukuta tayari magari yameshakaa mkao wa kutimka eneo hilo kuanza safari jana jambo lillilomfanya kumuagiza mhudumu na kuanza kujisevia akiwa wima kama unavyomuaona akikusanya vitafunwa vyote kwa pamoja.
Serikali Iko Macho: Mbibo Awatia Moyo Watumishi Ofisi ya RMO Mara
-
-Asifu Kasi ya Makusanyo ya Maduhuli
-Mara yafanikiwa kukusanya Tsh bilioni 112.61, sawa na asilimia 107.25 ya
lengo la kipindi husika
-Ahimiza Uzingatiaj...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment