Mhe Anne Makinda (Mb), Spika wa Bunge, akimkaribisha Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Liu Xinsheng (kulia) pamoja na mshauri wa mambo ya siasa wa Ubalozi huo Bw. Fuji Jun (kushoto) walipomtembelea ofisini kwake leo. Ubalozi wa China umekuwa wa kwanza kumtembelea Mhe. Spika tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. Picha na Prosper Minja wa BungeBalozi wa China nchini Tanzania Bw. Liu Xinsheng (kulia) akimkabidhi zawadi Spika wa Bunge Anne Makinda (Mb), wakati alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana ambapo pia alimpongeza kwa kuchaguliwa kushika nafasi hiyo ya Spika wa Bunge.
MAFUNZO YA WAKUFUNZI WASAIDIZI (ToTs) YAHITIMISHWA MWANZA: VIKUNDI VYA
KIJAMII KUFANYA KAZI KWA WELEDI ZAIDI
-
Mwanza.
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), kupitia mradi wa RISE
imehitimisha mafunzo ya Wakufunzi Wasaidizi (Training of Trainers – ToT...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment