Habari za Punde

*BALOZI WA CHINA NCHINI AMPONGEZA SPIKA ANNA MAKINDA

Mhe Anne Makinda (Mb), Spika wa Bunge, akimkaribisha Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Liu Xinsheng (kulia) pamoja na mshauri wa mambo ya siasa wa Ubalozi huo Bw. Fuji Jun (kushoto) walipomtembelea ofisini kwake leo. Ubalozi wa China umekuwa wa kwanza kumtembelea Mhe. Spika tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. Picha na Prosper Minja wa BungeBalozi wa China nchini Tanzania Bw. Liu Xinsheng (kulia) akimkabidhi zawadi Spika wa Bunge Anne Makinda (Mb), wakati alipomtembelea Ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana ambapo pia alimpongeza kwa kuchaguliwa kushika nafasi hiyo ya Spika wa Bunge.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.