Waziri MkuuMizengo Pinda kiongozwa na Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Fulgence Kazaura (kushoto), Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Jaji Joseph Sinde Warioba na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala kuelekea kwenye ukumbi wa Nkurumah ambapo alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa sherehe za miaka 50 ya CHuo Kikuu cha Dar es Salaam.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment