Waziri MkuuMizengo Pinda kiongozwa na Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Fulgence Kazaura (kushoto), Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Jaji Joseph Sinde Warioba na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala kuelekea kwenye ukumbi wa Nkurumah ambapo alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa sherehe za miaka 50 ya CHuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Benki ya Absa Tanzania Yaendeleza Ukuaji wa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati
katika Siku ya Wajasiriamali Duniani.
-
Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Victor Nchimbi
akizungumza na baadhi ya wajasiriamali kuhusu huduma zinazotolewa na benki
hiy...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment