Mkurugenzi wa African Stars 'Twanga Pepeta', Asha Baraka akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusu maonyesho ya mwanamuziki kutoka Kongo, Bozi Boziana atakayefanya maonyesho ya pamoja na bendi ya Twanga katika kumbi mbalimbali za jijini.
MAMBO YANOGA UKURASA MPYA WA HAKI KUENDANA NA WAKATI
-
Katika ulimwengu wa sasa unaokwenda kwa kasi ya mwanga, sheria ambazo
haziendani na wakati ni sawa na nanga inayozuia meli ya maendeleo kung'oa
nanga....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment