Mkurugenzi wa African Stars 'Twanga Pepeta', Asha Baraka akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusu maonyesho ya mwanamuziki kutoka Kongo, Bozi Boziana atakayefanya maonyesho ya pamoja na bendi ya Twanga katika kumbi mbalimbali za jijini.
Benki ya Absa Tanzania Yaendeleza Ukuaji wa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati
katika Siku ya Wajasiriamali Duniani.
-
Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Victor Nchimbi
akizungumza na baadhi ya wajasiriamali kuhusu huduma zinazotolewa na benki
hiy...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment