Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, John Chiligati (kushoto) akimkabidhi nyaraka mbalimbali za ofisi, Waziri mwenye dhamana hiyo, Prof. Anna Tibaijuka, wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika jana. Tibaijuka alikuwa akiingia ofisini hapo kwa mara ya kwanza tangu alipoapishwa mwishoni mwa wiki. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Patrick Rutabanzibwa. Picha na Mpigapicha Wetu
SERIKALI YAWAASA VIJANA KUTUMIA FURSA ZINAZOPATIKANA KUTOKANA NA MABADILIKO
YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO
-
Na. Ramadhani Kissimba, WF – Dar es Salaam
Serikali imewataka vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali nchini
kutumia fursa zinazopatikana kutoka...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment