Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkurugenzi wa kampuni mpya ya simu za mikononi ya Airtel, Sam Elangallor, wakionesha nembo mpya ya Kampuni hiyo baada ya kubadilishwa kutoka Zain na kuwa Airtel, wakati wa hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana jioni. Picha na Freddy Maro
HALOTEL IMEINGIA SABA SABA KWA KISHINDO, IKIWEKA MAZINGIRA YA TEKNOLOJIA
KWA KIWANGO KIKUBWA ZAIDI
-
Kampuni ya mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi na kwa kishindo
ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (D...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment