Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkurugenzi wa kampuni mpya ya simu za mikononi ya Airtel, Sam Elangallor, wakionesha nembo mpya ya Kampuni hiyo baada ya kubadilishwa kutoka Zain na kuwa Airtel, wakati wa hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana jioni. Picha na Freddy Maro
NAIBU WAZIRI MAKONDA AWASILI MOROCCO KUIPA MORALI TAIFA STARS
-
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda
amewasili nchini Morocco kwa lengo la kuipa nguvu na kuongeza morali kwa
Timu ya ...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment