Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Mawaziri wa Ofisi yake wakati Mawaziri hao walipokwenda Ofisini kwake Ikulu Dar es salaam leo kwa ajili ya kujitambulisha rasmi. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk. Teresya Luoga Hovisa (katikati) Waziri wa Nchi Ofisi Makamu wa Rais Muungano, Samia Hassan Suluhu.
DC MSANDO MGUU KWA MGUU MBURAHATI UFUFUAJI VISIMA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment