Ofisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude (kushoto) na Ofisa Habari wa kampuni hiyo, Matina G. Nkurlu, wakiwavalisha namba za ushiriki wa mashindano ya Vodacom Mwanza cycle Challenge kwa upande wa wanawake walemavu kabla ya mashindano hayo kuanza, jana ambapo mkoa wa Shinyanga umeibuka na washindi wengi katika mashindano hayo.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Said Ally Amanzi, akiinua bendera kuashiria uzinduzi rasmi wa mbio za Vodacom Mwanza Cycle Challenge kwa upande wa walemavu.
TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA NIGERIA MECHI YA AFCON
-
TANZANIA imenza vibaya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025
baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Nigeria usiku huu katika mchezo wao wa
kwanza ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment