Mmoja kati ya watu waliokuwamo katika Roli lenye namba za usajiri T 792 ACT, akitoka ndani ya gari hilo lililokuwa limebeba mifuko ya Cement na kuacha njia na kugonga nyumba eneo la Bunju A kwa Jumbe leo mchana baada ya kupasuka tairi la mbele. Katika ajali hiyo hakuna aliyeumia.
NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.
-
Na Mwandishi Wetu, Rombo.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo
_Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 202...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment