"Hongera saaaana Mseee, kwa ushindi tuserebuke tu sasa"!..
Mwenyekiti wa CCM Rais Dr.Jakaya Kikwete, akicheza muziki wa taarab na Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni mbunge wa Vunjo, Agustine Mrema, wakati wa hafla ya kuwapongeza wabunge iliyofanyika katika viwanja vya bunge mjini Dodoma hivi karibuni. Kuliani ni Mkurugenzi wa Jahazi Taarab, Mzee Yusuph. Picha na Freddy Maro
Mwenyekiti wa CCM Rais Dr.Jakaya Kikwete, akicheza muziki wa taarab na Mwenyekiti wa TLP ambaye pia ni mbunge wa Vunjo, Agustine Mrema, wakati wa hafla ya kuwapongeza wabunge iliyofanyika katika viwanja vya bunge mjini Dodoma hivi karibuni. Kuliani ni Mkurugenzi wa Jahazi Taarab, Mzee Yusuph. Picha na Freddy Maro
No comments:
Post a Comment