Spika wa zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta akiapishwa na aliyekuwa Naibu wake Anna Makinda, ambaye leo ameshinda kinyang'anyiro cha kuwania Kiti hicho cha Spika na kutangzwa rasmi kuwa Spika wa Bunge kwa kipindi cha miaka mitano. Samuel Sitta sasa atakuwa akiwajibika kwa zaidi katika Jimbo lake la Urambo Mashariki.
WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI
-
Waziri Akwilapo Ataka Kukamilisha malipo ifikapo Desemba 31, 2025
Aagiza Vituo vya Makusanyo ya Kodi kutoa huduma bora
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendel...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment