Askari wa usalama Barabarani akimuhoji dereva wa gari lenye namba T 808 AZV, aliyekuwa ameegesha gari lake katika eneo lisiloruhusiwa mbele ya jengo la IPS Posta Moya jijini Dar es Salaa leo. Katika eneo hilo kuna vibao vilivyochrwa alama za kuzuia kuegesha magari eneo hilo 'No Parking'. lakini madereva wamekuwa wakidharau alama hizo na kuegesha magari bila kufuata alama za usalama barabarani.
Askari hao wakiendelea kumbana dereva huyo ambaye alijaribu kutaka kuwakimbia askari hao.
RAIS DKT. MWINYI AMTEMBELEA ALIYEWAHI KUWA MBUNGE WA AMANI ZANZIBAR MHE.
HASSAN RAJAB NYUMBANI KWAKE
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Bw. Hassan Rajab aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la
Amani...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment