Meneja Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Kelvin Twissa, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mchana wakati kampuni hiyo ilipokuwa ikitangaza rasmi kuhusu ushirikiano wa kibiashara na Klabu ya Manchester United ya Uingereza itakayokuwa ikisaidia kuinua vipaji vya Soka vya vijana wa Afrika. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Beatrice Singano.
ALBINISM SPORTS CLUB NA TASACI WASHIRIKIANA KUANDAA MECHI YA KIRAFIKI NA
TIMU YA BUNGE ITAKAYOCHEZWA JUNI 6
-
ALBINISM Sports Club yenye Makao Makuu yake jijini Dar es Salaam kwa
kushirikiana na Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TASACI),
imeandaa mec...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment