Meneja Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Kelvin Twissa, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mchana wakati kampuni hiyo ilipokuwa ikitangaza rasmi kuhusu ushirikiano wa kibiashara na Klabu ya Manchester United ya Uingereza itakayokuwa ikisaidia kuinua vipaji vya Soka vya vijana wa Afrika. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Beatrice Singano.
WASTAAFU WA TRA WAHIMIZA ULIPAJI KODI, WAKIIMARISHA UMOJA WAO
-
Yeremiah Mbagi Katibu wa umoja wa wastaafu, akizungumza na waandishi wa
habari katika sherehe ya wastaafu wa TRA ya mwaka 2025 iliyofanyika jijini
Dar e...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment