Meneja Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Kelvin Twissa, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo mchana wakati kampuni hiyo ilipokuwa ikitangaza rasmi kuhusu ushirikiano wa kibiashara na Klabu ya Manchester United ya Uingereza itakayokuwa ikisaidia kuinua vipaji vya Soka vya vijana wa Afrika. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Beatrice Singano.
KATAMBI: UKIRITIMBA UNADUMAZA BIASHARA, HATUA MADHUBUTI ZAHITAJIKA
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi ,akizungumza
wakati wa ziara yake katika Baraza la Ushindani (FCT) Jijini Dar es Salaam.
......
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment