Habari za Punde

*MAANDALIZI YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA UWANJA WA UHURU

Hili ni Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya misa maaluma ya kuliombea Taifa 'Mkesha Mkubwa wa Kitaifa', unaoendelea na utafikia kilele baada ya kuupokea mwaka mpya wa 2011 na kuuaga 2010, ambapo mgeni rasmi atakuwa ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, ambaye anatarajia kuwasili katika Uwanja huu wa Uhuri mishale ya saa 5:30 usiku huu.
Wakazi wa Jijini Dar es Salaa, waliojitokeza kwenye Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Ibada maalum ya Kitaifa.
Waumini wakiendelea na ibada kabla ya kuukaribisha mwaka na mgeni rasmi.
Ibada inaendelea uwanjani hapa...

"EeeeeeeeH! Mungu Tusaidie katika mwaka huu mpya tunaotarajia kuuanza hivi punde Returns zipungue eeh Baba tusaidie"
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Global Publishers, wakiomba mungu kwa kukaribia kuumaliza mwaka na kuuanza mwaka mpya leo, ikiwa ni pamoja na kuiombea kampuni yao izidi kusonga mbele.





No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.