Hili ni Jukwaa lililoandaliwa kwa ajili ya misa maaluma ya kuliombea Taifa 'Mkesha Mkubwa wa Kitaifa', unaoendelea na utafikia kilele baada ya kuupokea mwaka mpya wa 2011 na kuuaga 2010, ambapo mgeni rasmi atakuwa ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, ambaye anatarajia kuwasili katika Uwanja huu wa Uhuri mishale ya saa 5:30 usiku huu. Wakazi wa Jijini Dar es Salaa, waliojitokeza kwenye Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Ibada maalum ya Kitaifa.
Waumini wakiendelea na ibada kabla ya kuukaribisha mwaka na mgeni rasmi.
Ibada inaendelea uwanjani hapa...
"EeeeeeeeH! Mungu Tusaidie katika mwaka huu mpya tunaotarajia kuuanza hivi punde Returns zipungue eeh Baba tusaidie"
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Global Publishers, wakiomba mungu kwa kukaribia kuumaliza mwaka na kuuanza mwaka mpya leo, ikiwa ni pamoja na kuiombea kampuni yao izidi kusonga mbele.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
KOKA:TUMPE MAMA SAMIA WABUNGE NA MADIWANI WA CCM
-
Kutoka kushoto ni Mgombea wa nafasi ya Ubunge Silvestry Koka akiwa na
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha Mwalimu Mwajuma
Nyamka....
KOKA:TUMPE MAMA SAMIA WABUNGE NA MADIWANI WA CCM
-
Kutoka kushoto ni Mgombea wa nafasi ya Ubunge Silvestry Koka akiwa na
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha Mwalimu Mwajuma
Nyamka....
Michezo: Simba Day Kuzinduliwa Agosti 30
-
"Katika msimu huu wa 17 wa Simba Day, utazinduliwa rasmi Agosti 30, 2025,
na kama ambavyo tumeanzisha utamaduni wa kufanya uzinduzi wa Wiki ya Simba
n...
Samia aijaza Manoti Stars
-
RAIS Samia Suluhu Hassan ameiwazadia timu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’
Sh milioni 200 kuelekea mchezo wa robo fainali wa michuano ya Mabingwa wa
Af...
NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi
wan...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment