Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipanda jukwaani baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la Mkesha wa Kitaifa, uliofanyika maalum kuukaribisha Mwaka mpya 2011 na kuuaga 2010. Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal na baadhi ya Viongozi wa Dini, wakipeperusha Bendera ya Taifa ikiwa ni ishara ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2011 na kuuaga Mwaka 2010, mara tu ilipotimu saa sita kamili usiku.
Brass Band ya Polisi wakiwatoa burudani ya muziki wa ala wakati wa Mkesha huo.
Mwandishi wa Redio ya Dini, akiwa na hisia na kutokwa na machozi wakati wa kuukaribisha mwaka mpya.
Watoto wa Kikundi cha Kanisa wakiandamana na maboksi yaliyokuwa yameandikwa ujumbe mbalimbali kuhusu maovu ambayo walikuwa wakiashilia kuyaacha muda mfupi kabla ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2011, wakati wa Mkesha wa Kitaifa uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
Watoto wa kikundi cha Kanisa wakicheza muziki wa Kwaya uwanjani hapo wakati wa mkesha huo wa Kitaifa.
Mtangazaji wa TBC Televisheni Msami, (mwenye suti nyeusi) akishambulia jukwaa kwa kucheza miondoko ya kwaya jukwaani wakati wa Tamasha la Mkesha wa Kitaifa uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
Ibada inaendelea huku baadhi ya watoto waliohudhulia mkesha huo wakiuchapa usingizi uwanjani hapo.
Wakazi wa jijini Dar es Salaam, wakiwa katika mkusanyiko wa Ibada ya Mkesha wa Kitaifa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal. Mkesha huo ulikuwa ni maalum kwa kuuaga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2011.
Wananchi wakiendelea kufurahia kuukaribisha mwaka Mpya.
Pia Wazee walikuwapo uwanjani hapo katika Ibada ya kuukaribisha Mwaka Mpya.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
KOKA:TUMPE MAMA SAMIA WABUNGE NA MADIWANI WA CCM
-
Kutoka kushoto ni Mgombea wa nafasi ya Ubunge Silvestry Koka akiwa na
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha Mwalimu Mwajuma
Nyamka....
KOKA:TUMPE MAMA SAMIA WABUNGE NA MADIWANI WA CCM
-
Kutoka kushoto ni Mgombea wa nafasi ya Ubunge Silvestry Koka akiwa na
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha Mwalimu Mwajuma
Nyamka....
Michezo: Simba Day Kuzinduliwa Agosti 30
-
"Katika msimu huu wa 17 wa Simba Day, utazinduliwa rasmi Agosti 30, 2025,
na kama ambavyo tumeanzisha utamaduni wa kufanya uzinduzi wa Wiki ya Simba
n...
Samia aijaza Manoti Stars
-
RAIS Samia Suluhu Hassan ameiwazadia timu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’
Sh milioni 200 kuelekea mchezo wa robo fainali wa michuano ya Mabingwa wa
Af...
NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi
wan...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment