Timu ya Simba ya Jijini Dar es Salaam, leo imeonyesha uwezo na kuwafurahisha mashabiki wake baada ya kuiadhibu kwa mabao 2-0, timu ya ADC Leopard ya Kenya ambao walikuwa ni mabingwa wa zamani wa Afrika Mashariki na Kati, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo jioni. Hadi mapumziko, tayari Wekundu wa Msimbazi walikuwa mbele kwa mabao hayo 2-0, yaliyodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo bila mabadiliko ya ubao wa idadi ya magoli.
WANANCHI SIHA, FUONI, KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI
KESHO
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs
Mwambegele leo Desemba 29,2025 amesoma risala maalum kuhusu uchagu...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment