Timu ya Simba ya Jijini Dar es Salaam, leo imeonyesha uwezo na kuwafurahisha mashabiki wake baada ya kuiadhibu kwa mabao 2-0, timu ya ADC Leopard ya Kenya ambao walikuwa ni mabingwa wa zamani wa Afrika Mashariki na Kati, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo jioni. Hadi mapumziko, tayari Wekundu wa Msimbazi walikuwa mbele kwa mabao hayo 2-0, yaliyodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo bila mabadiliko ya ubao wa idadi ya magoli.
ELIMU NA OPERESHENI ZAENDELEA KUDHIBITI KILIMO CHA MIRUNGI
-
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa
kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi,
kuanzia tarehe 10 had...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment