
Mashabiki waliofika kushuhudia uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini mambo yaliyokuwa yakiendelea jukwaani.
TID (kulia) akishambulia jukwaa na AY, Mzee wa Comercial...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya TID, akionyesha umahiri wake wa kucheza ‘Breack Dace’ jukwaani, wakati wa onyesho la uzinduzi wa albam yake ya nne mpya inayokwenda kwa jina la Sifai, iliyozinduliwa kwenywe Ukumbi wa Club Billicanas.
Wasanii wa Kikundi cha Bombeso, wakionyesha umahiri wao jukwaani wakati wa uzinduzi huo.
Shabiki akimtunza Lady Jay Dee, wakati alipopanda jukwaani ikiwa ni sehemu ya kusindikiza mama kusherehesha uzinduzi huo.
Huyu naye, alikuwapo...wanamuita Bilali Mashauzi ama Aunt Bilal, hapa akijishebedua na kutoa hela kumtunza shost wake...
HUYU DADA NAYE ALIWAPAGAWISHA WATU KINOMAAAA!
Shabiki wa muziki wa Taaraba, Mwanadada akicheza mduara na mwanamuziki wa Top Band ,wakati wa uzinduzi huo, ama kwa hakika Mdada huyu alikuwa kivutio kwa kila shabiki wa muziki aliyeingia ukumbini humo kwa jinsi alivyokuwa akizungusha vilivyo nyonga kwa kufuata midundo ya muziki huo.
Mduara unaendelea jukwaani..jj
Hapa wanamuziki wa Top Band, wakipagawa na kuamua kurap kumchezesha mwanadada huyo wote kwa pamoja.
POLE HONEY WANGU....
Mashabiki wakiwa makini kucheki kila kinachoendelea jukwaani.
TID, akipozi katika picha na mashabiki wake wa ukweli...."Ahsanteni kwa kuja"
Hawa ni wale waliokuwa wakitaka kuona kwa ukaribu zaidi na kuamua kuketi eneo la kuchezea muziki ili kuweza kuona kwa ukaribu zaidi.







No comments:
Post a Comment