Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 4 lililofanyika mwaka 2009, Kevin Chuwang Pam, kutoka nchini Nigeria (katikati) akiimba na kucheza na msanii wa muziki wa kizazi kipya, TID, wakati wa uzinduzi wa albam ya nne ya msanii huyo, inayokwenda kwa jina la Sifai. Kulia ni Elizabeth Gupta, ambaye ni mchumba wa Kevin, wachumba hao walialikwa jukwaani na kutangaza kuhusu uchumba wao, ambapo wanataraji kufunga ndoa hivi karibuni. Uzinduzi huo ulifanyika jana usiku kwenye Ukumbi wa Club Billicanas Dar es Salaam.
Wasanii wa Kikundi cha Bombeso, wakionyesha umahiri wao jukwaani wakati wa uzinduzi huo. Shabiki akimtunza Lady Jay Dee, wakati alipopanda jukwaani ikiwa ni sehemu ya kusindikiza mama kusherehesha uzinduzi huo.
Huyu naye, alikuwapo...wanamuita Bilali Mashauzi ama Aunt Bilal, hapa akijishebedua na kutoa hela kumtunza shost wake...
HUYU DADA NAYE ALIWAPAGAWISHA WATU KINOMAAAA!
Shabiki wa muziki wa Taaraba, Mwanadada akicheza mduara na mwanamuziki wa Top Band ,wakati wa uzinduzi huo, ama kwa hakika Mdada huyu alikuwa kivutio kwa kila shabiki wa muziki aliyeingia ukumbini humo kwa jinsi alivyokuwa akizungusha vilivyo nyonga kwa kufuata midundo ya muziki huo.
Eeeeh! si unaona??? Hadi Madada wenzake walipagawa naye na kuamua kwenda kumtunza mahela..
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
KAMONGA ACHUKUA FOMU TUME
-
Baada ya uteuzi wa wagombe ubunge wa uliofanyika siku ya Jana na
halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Mbunge wa Jimbo la
Ludewa Adv. Joseph Z...
Uchumi : Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi
-
Arusha.
Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24
yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi
il...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA
-
Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki,
Makamu wa Ra...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA
-
Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki,
Makamu wa Ra...
Samia aijaza Manoti Stars
-
RAIS Samia Suluhu Hassan ameiwazadia timu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’
Sh milioni 200 kuelekea mchezo wa robo fainali wa michuano ya Mabingwa wa
Af...
NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi
wan...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment