KITUO cha Sheria na Haki za Bianadamu (LHRC) kimeungana na baadhi ya wanaharakati kwenda Mahakama Kuu ya Tanzania leo, kuzuia amri ya Mahakama Biashara ya Kimataifa ya kutaka Tanesco ilipe Dowans Sh. bilioni 97.
Maamuzi hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa kituo hicho, Francis Kiwanga katika mkutano na waandishi wa habari, katika Ofisi za kituo hicho, Kijitonyana jijini Dar es Salaam.
RAIS SAMIA AONDOKA NCHINI KUELEKEA NCHINI URUSI KWA ZIARA YA KITAIFA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Ny...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment