KITUO cha Sheria na Haki za Bianadamu (LHRC) kimeungana na baadhi ya wanaharakati kwenda Mahakama Kuu ya Tanzania leo, kuzuia amri ya Mahakama Biashara ya Kimataifa ya kutaka Tanesco ilipe Dowans Sh. bilioni 97.
Maamuzi hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa kituo hicho, Francis Kiwanga katika mkutano na waandishi wa habari, katika Ofisi za kituo hicho, Kijitonyana jijini Dar es Salaam.
Rais Samia ataka uwekezaji wa ndani kwenye sekta ya afya Afrika
-
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa mwito kwa nchi za Afrika ziongeze uwekezaji
wa ndani katika sekta ya afya ili kujenga mifumo imara, endelevu na
inayoj...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment