Mwendesha Pikipiki akionyesha umahiri wake wa kucheza na pikipiki katika barabara ya Mlandege jana usiku ambapo kila mmoja aliweza kutembea kwa kutumia tairi moja hewani kwa umbali wa mita 500, ama kwa hakika ilikuwa ni burudani ya pekee kwa usiku huo. Sheree hizo limeazimishwa rasmi leo asubuhi katika Uwanja wa Amani na kuhudhuliwa na Viongozi wa Kiserikali.
Mwimbaji wa kundi la Taarab la Zanziba Big Star, Bahati Amad, akiimba wakati wa sherehe za mkesha wa Sikukuu ya Mapinduzi zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Vyama vya Siasa vya CCM na CUF, zilizofanyika katika Viwanja vya Kisonge mjini 
Wasanii wa Kikundi cha Zanzibar Stars, wakiimba katika Sherehe hizo jana usiku.
Wasanii wa Kikundi cha Sanaa cha Kariakoo, kikiwapagawisha wakazi wa 
Baadhi ya wakazi wa mjini 



No comments:
Post a Comment