Hivi ndvyo ubao wa magoli ulivyokuwa ukisomeka yaani wasimamizi wa mchezo huo hawakuweka ubao wa magoli kama ambavyo imekuwa katika michezo mingine kama ilivyozoeleka wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya Yanga na Afc ya Arusha uliochezwa majuzi kwenye Uwanja wa Uhuru. Leo pia ni mchezo mkali tu uwanjani hapo kati ya Simba na Azam je mambo haya yatakuwa ni kama mchezo uliopita jibu litatoka jioni baada ya mechi. Na hata Benchi la wachezaji pia kwa timu zote mbili yaani eneo la wachezaji na viongozi wa timu pia halikuwapo sasa sijui hii ni kutokana na ukarabati unaotaka kufanywa katika uwanja huo ama la? Lakini kama hivi ndivyo Ukarabati wa uwanja huo na maandalizi ya mchezo na hususan vitu muhimukama hivyo katika mechi vianhusiana vipi na ukarabati wa uwanja? Ama wasimamizi ndiyo wazembe???? Nahitaji jibu wadau.
JAMII YAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu, West Kilimanjaro
Jamii imetakiwa kushirikiana kikamilifu katika kudhibiti uharibifu wa
mazingira ili kupunguza athari za mabadiliko ya ...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment