Vijana wakishusha mzigo wa magazeti yaliyofika Mahakamani hapo katika gari la Tani tatu na nusu kwa ajili ya ushahidi wa kesi hiyo. Miongoni mwa Magazeti hayo ya vyombo vya habari mbalimbali vya nchini mengi ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari za kawaida zisizomchafua Manji tangu mwaka 2006 hadi 2011 machache ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari zinazomchafua Manji kwa kipindi kama hicho cha tangu 2006 hadi 2011.
VIONGOZI WA UMMA WATAKIWA KUBADILI MTINDO WA KAZI ILI KUFIKIA DIRA 2050*
-
SERIKALI imesema hakuna tena biashara ya kawaida kwa Taasisi, Mashirika ya
Umma na Wakala za Serikali. Waziri Prof. Kitila Mkumbo amesema viongozi
la...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment