Vijana wakishusha mzigo wa magazeti yaliyofika Mahakamani hapo katika gari la Tani tatu na nusu kwa ajili ya ushahidi wa kesi hiyo. Miongoni mwa Magazeti hayo ya vyombo vya habari mbalimbali vya nchini mengi ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari za kawaida zisizomchafua Manji tangu mwaka 2006 hadi 2011 machache ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari zinazomchafua Manji kwa kipindi kama hicho cha tangu 2006 hadi 2011.
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment