Mwenyekiti wa Bodi ya KCB Tanzania, Dk Edmund Mndolwa (Kulia) akizungumza na wafanyabiashara wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) waliohudhuria hafla ya chakula cha pamoja kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki waliopo Tanzania iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana usiku. Katikati ni Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Fatma Ndagiza na Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania, Joram Kiarie.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa P...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment