Mwenyekiti wa Bodi ya KCB Tanzania, Dk Edmund Mndolwa (Kulia) akizungumza na wafanyabiashara wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) waliohudhuria hafla ya chakula cha pamoja kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki waliopo Tanzania iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana usiku. Katikati ni Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Fatma Ndagiza na Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania, Joram Kiarie.
Riadha : RT Kuwabana Waandaaji wa Mbio
-
SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limepanga kuweka sheria mpya
itakayowalazimisha wandaaji wa mashindano kuhakikisha wanajumuisha pia mbio
za watoto k...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment