Mwenyekiti wa Bodi ya KCB Tanzania, Dk Edmund Mndolwa (Kulia) akizungumza na wafanyabiashara wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) waliohudhuria hafla ya chakula cha pamoja kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki waliopo Tanzania iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana usiku. Katikati ni Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Fatma Ndagiza na Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania, Joram Kiarie.
RELI ILIYOSIMAMA KWA KIPINDI CHA MIAKA 20 YAFUFULIWA NA KUANZA KUFANYA KAZI
-
Na Oscar Assenga, TANGA.
HATIMAYE Reli iliyokuwa ikitoka Bandari ya Tanga kupitisha shehena za
Mizigo kuelekea mikoa mbalimbali ikiwemo ya Kanda ya...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment