Mwenyekiti wa Bodi ya KCB Tanzania, Dk Edmund Mndolwa (Kulia) akizungumza na wafanyabiashara wa Afrika Mashariki (hawapo pichani) waliohudhuria hafla ya chakula cha pamoja kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki waliopo Tanzania iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana usiku. Katikati ni Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Fatma Ndagiza na Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania, Joram Kiarie.
WADAU WAKUTANA KUZUNGUMZIA MRADI WA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE WA
KIMATAIFA CHA SERENGETI
-
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege
Tanzania (TAA) Jumapili April 20, 2026 wamekutana na wadau mbalimbali
kuzungumzia m...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment