Mmiliki wa Blog ya Sufianimafoto, Muhidin Sufiani (katikati) akitoa darasa kuhusu Ukurasa wake katika Blog, akiwaelekeza jinsi ukurasa huo unavyoweza kufanya kazi kuanzia upatiakanaji wa matukio hadi kuyaupload. Kushoto ni mpigapicha wa ITV (wapili kulia) ni Godfrey Monyo wa ITV na Mhariri wa Jarida wa Tanzania Tennis, Simbiso Mchine. Si unaona sasa inavyokuwa baada ya kuupload?, Ahaa! kumbe ndo unavyofanya sasa nimekuelewa...
Ebwana eeh! ngoja kwanza mbona hapa inafanya hivi ukipost?
Monyo akiwa na fimbo ya kipedezyee, amedai ameipata Loliondo baada ya kufika na kukosa kikombe Babu aliamua kumpa Bakora hiyo ili kuwa kinga yake badala ya Kikombe cha dawa.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
Ushindi Mkubwa Upo Mikononi Mwako Leo
-
KAMA kawaida leo hii ni siku nyingine ya wewe kuhakikisha kuwa unaondoka na
mnkwanja wa maana. Mechi kibao zinakusubiri uweze kusuka jamvi la uhakika
...
Ushindi Mkubwa Upo Mikononi Mwako Leo
-
KAMA kawaida leo hii ni siku nyingine ya wewe kuhakikisha kuwa unaondoka na
mnkwanja wa maana. Mechi kibao zinakusubiri uweze kusuka jamvi la uhakika
...
‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC
-
KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji
wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El
Mahallay...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment