Mkurugenzi wa Kampuni ya Agumba Computers Ltd, Paul Koyi (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa kompyuta na vifaa vyake vyenye thamani ya Sh milioni 2.5, Mwalimu wa kujitolea wa Shule ya Sekondari ya Kibiti, Duffie Taylor, kwa ajili ya matumizi ya shule hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwalimu wa Hesabu na Kompyuta wa shule hiyo, Njali Hussein.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment