Mkurugenzi wa Kampuni ya Agumba Computers Ltd, Paul Koyi (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa kompyuta na vifaa vyake vyenye thamani ya Sh milioni 2.5, Mwalimu wa kujitolea wa Shule ya Sekondari ya Kibiti, Duffie Taylor, kwa ajili ya matumizi ya shule hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwalimu wa Hesabu na Kompyuta wa shule hiyo, Njali Hussein.
Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa
Magari kwa Watanzania
-
Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota
wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa
Watanz...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment