Diwani wa kata ya Lugarawa wilaya ya Ludewa mkoani Iringa, Fromena Haule akipokea kombe litakaloshindaniwa katika kata yake katika mashindano ya mbunge Deo Filikunjombe wa jimbo hilo ambapo mshindi atapata kombe hilo la dhahabu na Ng'ombe mashindano kama hayo ni kwa kata zote za jimbo hilo.
WANANCHI MWANZA WAPONGEZA KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME
-
Wakazi wa Jiji la Mwanza wamepongeza kampeni ya matumizi ya nishati safi
ya kupikia kwa umeme, wakisema imeleta matumaini mapya ya kupunguza gharama
za...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment