Hili ni moja kati ya jengo lenye maduka kibao katika Mtaa wa Nyawezi Kariakoo, kama linavyoonekana katika picha. Je utaratibu huu utafuatwa na wafanyabiashara wa Bongo kwa kutopanga bidhaa zao nje ya maduka ili kunguza msongamanao wa wateja na vurugu za wafanyabiashara za mkononi? Katika picha hii tayari wenye maduka haya wameshavunja utaratibu huo kwa kupanga biashara zao nje ya maduka yao.
KAMATI YA BUNGE YA PIC YAGUSA MCHANGA UNAOHAMA
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji kwa Umma mwishoni mwa wiki
iliyopita imetembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro ambapo pamoja na mambo
meng...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment