Habari za Punde

*TASWIRA NA SURA YA KARIAKOO KWA SASA

Hili ni moja kati ya jengo lenye maduka kibao katika Mtaa wa Nyawezi Kariakoo, kama linavyoonekana katika picha. Je utaratibu huu utafuatwa na wafanyabiashara wa Bongo kwa kutopanga bidhaa zao nje ya maduka ili kunguza msongamanao wa wateja na vurugu za wafanyabiashara za mkononi? Katika picha hii tayari wenye maduka haya wameshavunja utaratibu huo kwa kupanga biashara zao nje ya maduka yao.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.