Hili ni moja kati ya jengo lenye maduka kibao katika Mtaa wa Nyawezi Kariakoo, kama linavyoonekana katika picha. Je utaratibu huu utafuatwa na wafanyabiashara wa Bongo kwa kutopanga bidhaa zao nje ya maduka ili kunguza msongamanao wa wateja na vurugu za wafanyabiashara za mkononi? Katika picha hii tayari wenye maduka haya wameshavunja utaratibu huo kwa kupanga biashara zao nje ya maduka yao.
KATIBU MKUU CCM, UJUMBE MTANDAO WA VIONGOZI WANAWAKE AFRIKA WAFANYA
MAZUNGUMZO
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Asha-Rose Migiro, leo tarehe
21 Aprili 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Mtandao wa
Viongo...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment