Hili ni moja kati ya jengo lenye maduka kibao katika Mtaa wa Nyawezi Kariakoo, kama linavyoonekana katika picha. Je utaratibu huu utafuatwa na wafanyabiashara wa Bongo kwa kutopanga bidhaa zao nje ya maduka ili kunguza msongamanao wa wateja na vurugu za wafanyabiashara za mkononi? Katika picha hii tayari wenye maduka haya wameshavunja utaratibu huo kwa kupanga biashara zao nje ya maduka yao.
Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha
Dira 2050
-
Na Mwandishi wa OTR
Pwani. Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali
kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongoz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment