Hili ni moja kati ya jengo lenye maduka kibao katika Mtaa wa Nyawezi Kariakoo, kama linavyoonekana katika picha. Je utaratibu huu utafuatwa na wafanyabiashara wa Bongo kwa kutopanga bidhaa zao nje ya maduka ili kunguza msongamanao wa wateja na vurugu za wafanyabiashara za mkononi? Katika picha hii tayari wenye maduka haya wameshavunja utaratibu huo kwa kupanga biashara zao nje ya maduka yao.
BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA
-
*KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati
akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma
len...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment