Pamoja na jitihada kibao za Manispaa za jiji kuweka vifaa vya kuhifadhia taka katika baadhi ya maeneo ya jiji hili, lakini bado Wananchi hawana utaratibu wa kujizoesha kutumia vifaa hivyo kama picha hii inavyoonesha, pamoja na kuwapo kifaa cha kuhifadhia taka lakini bado watu wasiojulikana wamefika mahala hapa na kutupa taka zao mtaroni na pembeni mwa kifaa hicho. Je namna hii tutafika kweli na jitihada za kuweka jiji safi?
TANZANIA YAUNGA MKONO UAMUZI WA SADC - MAJALIWA
-
*Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa
Jumuiya ya Maendeleo y...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment