Pamoja na jitihada kibao za Manispaa za jiji kuweka vifaa vya kuhifadhia taka katika baadhi ya maeneo ya jiji hili, lakini bado Wananchi hawana utaratibu wa kujizoesha kutumia vifaa hivyo kama picha hii inavyoonesha, pamoja na kuwapo kifaa cha kuhifadhia taka lakini bado watu wasiojulikana wamefika mahala hapa na kutupa taka zao mtaroni na pembeni mwa kifaa hicho. Je namna hii tutafika kweli na jitihada za kuweka jiji safi?
SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE
-
VIGOGO, Simba SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho
la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya
ushi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment