Wafanyabishara wa maji wakikokota matoroli yao kutokea maeneo ya Ubalozi kuelekea maeneo ya Kinondoni kwa ajili ya kuuza kwa wakazi wa maeneo hayo. Kutokana na tatizo la upatikanaji wa maji ya Bomba katika maeneo mengi ya jijini wafanyabishara hao wamekuwa wakipandisha bei ya maji ambapo dumu moja huuzwa hadi Sh. 500.
TUZO YA MCHEZAJI BORA CHAGUO LA WATU “PEOPLE’S CHOICE AWARD”. KUPIGIWA KURA
KUPITIA +255-689525363
-
Katika kufanya maboresho na kuongeza thamani ya Tuzo za wanamichezo bora
nchini zinazotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Kamati ya uratibu
ya U...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment