Wafanyabishara wa maji wakikokota matoroli yao kutokea maeneo ya Ubalozi kuelekea maeneo ya Kinondoni kwa ajili ya kuuza kwa wakazi wa maeneo hayo. Kutokana na tatizo la upatikanaji wa maji ya Bomba katika maeneo mengi ya jijini wafanyabishara hao wamekuwa wakipandisha bei ya maji ambapo dumu moja huuzwa hadi Sh. 500.
MAMBA WATISHIA USALAMA WA WANANCHI WA KATA YA RUVU.
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wananchi
wa kata ya Ruvu kuwa makini na maji yanayotapakaa kat...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment