Habari za Punde

*TATIZO LA MAJI KATIKA JIJI KUBWA KAMA HILI LA DAR HADI LINI?

Wafanyabishara wa maji wakikokota matoroli yao kutokea maeneo ya Ubalozi kuelekea maeneo ya Kinondoni kwa ajili ya kuuza kwa wakazi wa maeneo hayo. Kutokana na tatizo la upatikanaji wa maji ya Bomba katika maeneo mengi ya jijini wafanyabishara hao wamekuwa wakipandisha bei ya maji ambapo dumu moja huuzwa hadi Sh. 500.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.