Wafanyabishara wa maji wakikokota matoroli yao kutokea maeneo ya Ubalozi kuelekea maeneo ya Kinondoni kwa ajili ya kuuza kwa wakazi wa maeneo hayo. Kutokana na tatizo la upatikanaji wa maji ya Bomba katika maeneo mengi ya jijini wafanyabishara hao wamekuwa wakipandisha bei ya maji ambapo dumu moja huuzwa hadi Sh. 500.
VYAMA SITA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYATAKIWA KUDUMISHA UMOJA NA
MSHIKAMANO
-
Na Victor Masangu,Kibaha
VYAMA Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika vimetakiwa kuendeleza
ushirikiano ulioachwa na waasisi wa mataifa hayo ili kulet...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment