
Kaimu Mnikulu Mkuu Kassimu Mtawa (katikati) akikabidhi Bajaji mbili zenye thamani ya Sh. milioni 9.5 kwa wasanii wa Kikundi cha Muziki cha Survival Sisters zilizotolewa. Bajaji hizo zilikabidhiwa na Mnikulu Mkuu kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, ikiwa ni utekelezaji wa ombi la wasanii hao waliomtumia. Kushoto ni Irine Malekela na kulia ni Ratifa Abdallah. Hafla hiyo ya makabidhiano ilifanyika Ikulu Dar es Salaam leo. Picha na Idara ya Habari-MAELEZO


No comments:
Post a Comment