Askofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge, akimpaka majivu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara leo. Mheshimiwa Pinda yuko kwenye zaiara ya Mkoa wa Kagera. Picha na Ofisi ya Waziri MkuuAskofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge akimpaka majivu mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara.
Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha
Dira 2050
-
Na Mwandishi wa OTR
Pwani. Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali
kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongoz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment