Askofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge, akimpaka majivu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara leo. Mheshimiwa Pinda yuko kwenye zaiara ya Mkoa wa Kagera. Picha na Ofisi ya Waziri MkuuAskofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge akimpaka majivu mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara.
SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB, KMC NJE
-
VIGOGO, Simba SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho
la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya
ushi...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment