Askofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge, akimpaka majivu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara leo. Mheshimiwa Pinda yuko kwenye zaiara ya Mkoa wa Kagera. Picha na Ofisi ya Waziri MkuuAskofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge akimpaka majivu mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara.
NHC YAUNGA MKONO MAENDELEO YA UNUNUZI NA UGAVI KUPITIA KONGAMANO LA KITAIFA
-
ARUSHA-Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linashiriki katika Kongamano la 16
la Mwaka la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi jijini Arusha.
Kongamano hilo ambal...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment