Askofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge, akimpaka majivu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara leo. Mheshimiwa Pinda yuko kwenye zaiara ya Mkoa wa Kagera. Picha na Ofisi ya Waziri MkuuAskofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge akimpaka majivu mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara.
KMC FC YALAZIMISHWA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA PRISONS MWENGE
-
TIMU ya KMC imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Tanzania Prisons
katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa KMC
Complex, M...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment