Askofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge, akimpaka majivu, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara leo. Mheshimiwa Pinda yuko kwenye zaiara ya Mkoa wa Kagera. Picha na Ofisi ya Waziri MkuuAskofu Severene Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge akimpaka majivu mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika ibada fupi iliyofanyika kwenye makazi ya Askofu wa Ngara.
SERIKALI YAFAFANUA JINSI WANAWAKE WA VIJIJINI WANAVYONUFAIKA NA MIKOPO YA
ASILIMIA 10 YA HALMASHAURI
-
SERIKALI YAFAFANUA JINSI WANAWAKE WA VIJIJINI WANAVYONUFAIKA NA MIKOPO YA
ASILIMIA 10 YA HALMASHAURI
Na Janeth Raphael MichuziTv Bungeni - Dodoma
Serik...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment