Viongozi wa CHADEMA kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf Dadi Kombo Maalim (katikati) na Graison Nyakarungu, Mwasisi wa kampeni 'Washataa mchana' wakiwa katika harakati za kuuchoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya Mapitio ya Katiba Tanzania wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Zanzibar mjini Zanzibar leo.
Teknolojia : Serikali Yazihimiza Taasisi za Umma na Sekta Binafsi Kutumia
Anwani za Makazi
-
SERIKALI imezidisha kasi ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kusisitiza
matumizi mapana ya mfumo wa anwani za makazi, hatua inayolenga kurahisisha
ut...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment