Viongozi wa CHADEMA kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf Dadi Kombo Maalim (katikati) na Graison Nyakarungu, Mwasisi wa kampeni 'Washataa mchana' wakiwa katika harakati za kuuchoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya Mapitio ya Katiba Tanzania wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Zanzibar mjini Zanzibar leo.
SERIKALI YAJENGA SHULE YA KISASA YA WASICHANA NA SHULE YA AMALI MKOANI
MWANZA
-
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan
imekamilisha ujenzi wa shule ya kisasa ya wasichana Mwanza ambayo imejengwa
kat...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment