Viongozi wa CHADEMA kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf Dadi Kombo Maalim (katikati) na Graison Nyakarungu, Mwasisi wa kampeni 'Washataa mchana' wakiwa katika harakati za kuuchoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya Mapitio ya Katiba Tanzania wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Zanzibar mjini Zanzibar leo.
KATAMBI ASISITIZA UMUHIMU WA MICHEZO KWA WAFANYAKAZI
-
Na Mwandishi Wetu - Singida
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu
Mhe. Patrobas Katambi ametoa wito kwa Waajiri na Vyama...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment