Viongozi wa CHADEMA kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf Dadi Kombo Maalim (katikati) na Graison Nyakarungu, Mwasisi wa kampeni 'Washataa mchana' wakiwa katika harakati za kuuchoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya Mapitio ya Katiba Tanzania wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Zanzibar mjini Zanzibar leo.
MKUTANO MKUU WA 20 WA TFF: MAFANIKIO NA MAONO YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linafanya Mkutano Mkuu wake wa
20 katika Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, tukio ambalo ni kielelezo
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment